UMUHIMU WA KUSAFISHA DAMU KWA KILA MTU

Makala hii imeandikwa na doctor Abdul anaepatikana kwa nambari 0747 531 853

Damu ni chanzo cha uhai kwa kila mwanadamu kwa maana mtu anaweza akaishi na maradhi yoyote yale makubwa kwa muda mrefu bila ya kupata tatizo lolote ila mtu akipungukiwa damu basi kama hajafanya haraka kuongeza damu tunaweza kumpoteza mtu huyu.

Pia damu ndio nyenzo ya kusafirisha madini na viambata vyote muhimu kutoka katika kiungo kimoja kuelekea kiungo kingine. Na vilevile damu ndio inayosafirisha hewa katika viungo vyote vya mwilini

Damu inapokuwa na shida kwa mfano damu ikipata maambukizi ya bacteria basi mgonjwa hupata tabu sana na maumivu makali kuliko hata ya mgonjwa wa malaria.

Mishipa ya damu ikizipa kwa sababu ya mafuta kuwa mengi katika mishipa au kwa sababu nyingine yoyote basi mtu hupata maradhi ya moyo na pia matatizo kwenye viungo muhimu.

Damu pia ni muhimu katika kuweka uwiano sawa wa presha na mapigo ya moyo. Vilevile magonjwa kama kisukari na homa ya ini haviwezi kutokea bila uwepo wa hitilafu kwenye damu.

Damu inapokuwa sawa basi mtu unakuwa umejiepusha na maradhi yote makubwa yasiyo ambukiza kwa maana maradhi kama;

Maradhi ya moyo

Maradhi ya figo na ini

Pressure

Maradhi ya cholesterol

Kisukari

Maradhi ya Hormone

Maradhi ya uzeeni

Matatizo ya kinga kushuka

Matatizo ya kansa

Haya ni baadhi tu ya maradhi ambayo mtu aweza kuyaepuka endapo damu yake itakuwa safi.

Je kuna namna Ya kusafisha damu.??

Ndio namna zipo aina tofautitofauti kama vile,

Kupiga chuku au kufanya hijama

Kutumia vidonge vinavyo safisha damu

Kufanya dialysis hospitalini na hii hufanyiwa wagonjwa wa figo zilizo feli

Sasa leo nataka nikufahamishe kuhusu vidonge vya kusafisha damu (blood cleanser) na kazi zake.

Njia ya kusafisha damu kwa kutumia vidonge ndio njia rahisi na hata gharama zake ni ndogo ukilinganisha na njia hizo nyingine.

Tunaposema vidonge hatumaanishi vidonge vya hospitalini bali ni tiba asili iliyo kwenye mfumo wa vidonge.

Na wenzetu watu wa bara la Asia hasa nchi kama Japan, Korea, Malaysia, Thailand, Indonesia na China wanavitumia sana ili kuweka mfumo wa mwili sawa.

Vidonge hivi vimeonyesha uwezo mkubwa sana wa kutokomeza moja kwa moja maradhi yasiyo ambukiza kama tuliyo yataja hapo juu.

Na wengi waliotumia wamepata matokeo wanayohitaji.

Sasa kama wewe una umri kuanzia miaka 30 na kuendelea ni bora ukawahi mapema kuchukua hatua kabla maradhi haya hatari sana hayaja kuchukua.

Vidonge hivi vimeonyesha uwezo mkubwa wa kuondoa maradhi

   Maradhi ya moyo

Wagonjwa wengi sana waliotumia vidonge hivi pekeake bila kuongeza na tiba nyingine wamerudi na shuhuda ya kupona moja kwa moja na sio tu kwa siku chache bali kwa miaka sasa hawajasumbuliwa na maradhi hayo tena.

   presha ya kupanda ama ya kushuka

Watumiaji wa vidonge hivi walio kuwa na Maradhi ya presha wameweza kutokemeza matatizo hayo.

   Kisukari

Najua wengi wenu mnaamini sukari haina dawa ila sio kweli kama mtu sukari yake haina muda mrefu atahitaji dozi moja tu kutokomeza sukari.

Ok maradhi mengineyo tutayajadili katika makala zijazo.

Gharama ya dawa hii ni shillings 270,000 na hiyo ni dozi kamili.

Hivyo kwa unaehitaji dawa hii nipigie kupitia nambari 0747 531 853

Leave a Comment