Dada umekuwa ukipata maumivu makali wakati wa siku zako?  Twende pamoja nikupe njia

Dada maumivu wakati wa hedhi sio kitu cha kawaida na ndio maana hakiwapati watu wengi ila ni baadhi tu ya wanawake

Kuna tatizo kwenye mfumo wa uzazi kama viuvimbe vidogo kwenye mji wa uzazi na kwa baadhi ya wanawake ni umri tu anapozaa kila kitu kinakaa sawa

Maradhi gani husababisha hali hii

Kuna ugonjwa unaitwa Cervical stenosis. Yaani kwa baadhi ya wanawake uchi wake unakuwa na mlango mdogo sana kiasi kushindwa kutoa damu kwa kiwango kinachohitajika na hivyo kupelekea mrundikano wa damu.

Adenomyosis. Huu tunaweza tusiuite Ugonjwa bali hali flani ambayo hubadilisha ukuta mlani wa uzazi kuwa ukuta mgumu au msuli. Hii hupelekea maumivu hata wakati wa tendo la ndoa vilevile na ute unakuwa mdogo.

Uterine Fibroids. Hivi ni vivimbe vinavyo tokea kwenye ukuta wa uzazi ambavyo husababisha maumivu makali wakati wa hedhi na pia hata siku za kawaida

Pelvic inflammatory disease (PID). Huu ni ugonjwa wa bacteria unao athiri maungo ya uzazi ya mwanamke na gonjwa hili husababishwa na ngono.

JINSI YA KUTIBU TATIZO HILI

Tatizo hili linatibiwa hospital na watu wengi wamekuwa wakipata tiba zinazowaletea matoe mazuri. Ila kuna baadhi ya watu hawapati matokeo wanayotaka toka hospital hivyo hawa suluhisho Lao ninalo tena kwa gharama nafuu sana.

Kama wewe umesumbuliwa na hili Tatizo kwa muda mrefu na bado hujapata tiba basi nipigie leo kupitia nambari 0747 531 853

Hii ni dawa ya asili na imeleta matokeo kwa wanawake wengi sana na pia wale ambao hawapati ujauzito hii dawa itawafaa sana

Leave a Comment