Nguvu za kiume ni changamoto kwako.      Soma hii mpaka mwisho

Ebhana mdau karibu sana kwenye kurasa hii ya masuala ya afya

Leo nataka kuzungumzia faida zipatikanazo kutokana na mwani (sea moss) kwa mwanaume na afya ya uzazi

Ebhana kaka kama umepoteza hamu ya tendo la ndoa hivyo ukishafanya mara moja hujisikii kurudia tena au unachelewa sana kurudia raundi ya pili basi mwani ni suluhisho kwako.

Kwanza kabla hatujaenda kwenye faida za moja kwa moja za mwani kwanza tuongelee hili Tatizo

Changamoto hii ya nguvu za kiume huwapata sana watu wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea na hii ni kwa sababu wanaume huzalisha kiwango kingi cha Testosterone anapokuwa chini ya umri wa miaka hiyo 35 lakini anapofikisha umri wa miaka 35 na kuendelea hormone hii hupunguzwa uzalishaji wake hivyo kupelekea kupungua kwa matamanio ya mapenzi.

Pia baadhi ya maradhi hupelekea tatizo hili kama vile kisukari, presha, maradhi ya moyo, matatizo ya sickle cell (seli mundu), maradhi ya hormone.

Sasa baada ya kufahamu kwa uchache nini kinaathiri mfumo wa uzazi sasa tuangalie tiba yake

Kwa miaka mingi watu wamejaribu kupata ufumbuzi wa kudum wa tatizo hili ila wameishia njiani yaani matokeo yalikuwa hayaridhishi.

Ila kuna mtaalam mmoja akangundua kitu kinachotokea baharini na kimeweza kuleta matokeo makubwa kwa watu wengi sana.

Na mali ghafi hiyo ni sea moss. Sea moss ni mmea ambao imesheheni madini yote muhimu ambayo yanaendana na mwili wa mwanadamu hivyo imekuwa muhimu sana katika kuimarisha misuli na kusaidia kuchochea usambwazaji wa damu wa kutosha mwili mzima.

Sea moss ina uwezo wa kutibu maradhi zaidi ya 20 ikiwa pekeake bila kuongeza dawa nyingine yoyote na hii ni kwa sababu ya wingi wa madini zinc yanayopatikana kwenye mmea huu.

Mali ghafi hii ni muhimu sana hadi mtaalam wa kimarekani na mwanaharakati Daktari Sebi ameisifia sana.

Mali hii unaweza kuipata leo kwa ujazo tofautitofauti kutoka kwa mtaalam wa  maradhi ya binadam doctor Abdul

Wasiliana na Dr Abdul kupitia nambari 0747 531 853

Leave a Comment